Taarifa
kutoka kwa mmoja wa wachezaji waliokuwapo zinasema kwamba gari hilo likiwa katika Mwendo, tairi lilipasuka
na kusababisha gari kuhama Njia na kuparamia miti iliyokuwa jirani.
Hakuna mtu
yoyote aliyeumia sana japo kuna mchezaji mmoja ambaye amepata Majeraha ya
kawaida na gari lao kuharibika.
|
Sunday, May 21, 2017
Picha -Timu ya Ruvu Shooting Ilivyopata Ajali -Singida.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment