Treni za
mizigo zilianza kazi jana na ile ya abiria iliyopewa jina la Madaraka Express
imeanza kazi leo kwa kusafirisha abiria kutoka Mombasa hadi Nairobi.
|
Treni hizo
zinazotembea umbali wa kilometa 120 kwa saa zitatumia masaa manne tuu
kusafirisha abiria au mizigo kati ya Mombasa na Nairobi.
|
Kuhusu nauli
ya Treni hizo kwa daraja la kawaida tiketi zitauzwa kwa Ksh 900 huku daraja la
biashara nauli ikiwa ni Ksh 3000.
Hapa chini Tazama picha za Uzinduzi huo wa Reli hiyo ya
kisasa na nyingine zinazoonesha kila kituo kutoka Mombasa hadi nairobi.
|
No comments:
Post a Comment