Mwenyekiti
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Andrew Chenge akisoma dua ya
kuliombea Bunge katika kikao cha 38 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo
Picha zote
na Maelezo.
|
Naibu Waziri
wa Nishati na Madini Mhe.Dk.Medard Kalemani akiwasilisha Randama za Makadirio
na Matumizi ya Wizara yake kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 katika kikao cha 38 cha
Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo May 31, 2017.
|
Naibu Waziri
wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe akijibu maswali mbalimbali
ya wabunge katika kikao cha 38 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo May 31,
2017.
|
Waziri Mkuu
wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza jambo na
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Harrison Mwakyembe katika kikao
cha 38 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo May 31, 2017.
|
Mwanasheria
Mkuu wa Serikali Mhe.George Masaju akifuatilia jambo kutoka kwa Naibu Waziri
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Dk.Suzan Kolimba
katika kikao cha 38 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 31,
2017.Kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu
Sera,Bunge,Ajira,Kazi,Vijana na Watu wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama.
|
Waziri wa
Maliasili na Utalii Mhe.Prof Jumanne Maghembe akimskiliza Mbunge wa Mtama(CCM)
Mhe.Nape Nnauye katika kikao cha 38 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 .
|
Naibu Waziri
wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe.Khamis Kigwangalla akijibu
maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 38 cha Mkutano wa Saba wa Bunge
la 11.
|
Waziri wa
Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage akijibu maswali mbalimbali
ya wabunge katika kikao cha 38 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11.
|
Waziri wa
Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mhe.Dk Charles Tizeba akijibu maswali mbalimbali ya
wabunge katika kikao cha 38 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo May 31, 2017.
|
Mbunge wa
Viti Maalum (CCM) Mhe.Ritta Kabati akiuliza swali katika kikao cha 38 cha Mkutano
wa Saba wa Bunge la 11 .
|
Mbunge wa
Arumeru Mashariki(CHADEMA) Mhe.Joshua Nassari akifurahi jambo na Mbunge wa
Momba(CHADEMA) Mhe.David Silinde katika kikao cha 38 cha Mkutano wa Saba wa
Bunge la 11 leo May 31, 2017.
|
Mbunge wa
Viti Maalum (CHADEMA) Mhe.Catherine Ruge akiuliza swali katika kikao cha 38 cha
Mkutano wa Saba wa Bunge la 11.
|
Mbunge wa
Iramba Mashariki(CCM) Mhe.Allan Kiula akiuliza swali katika kikao cha 38 cha
Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo May 31, 2017.
|
No comments:
Post a Comment