Katika mechi
hii, Manchester United
hawakuipa nguvu sana kwa kuchezesha kikosi chepesi na kuelekeza nguvu zao kwenye Fainali ya UEFA EUROPA
League 2016/2017 ambayo watacheza na Ajax ya Uholanzi May 28, 2017.
Ushindi huu umewaweka Tottenham Hotspur nafasi ya Pili kwa Pointi 80 nyuma ya Mabingwa wapye wa 2016/2017 Chelsea wenye Pointi 87,Liverpool walioshinda bao 4-0 dhidi ya West Ham United wakijikita nafasi ya tatu na Pointi 73,Manchester City walioshinda bao 2-1 kwa Leicester City wakikaa nafasi ya nne kwa Pointi 72 ,Arsenal ya tano na Pointi 69 baada ya kushinda 4-1 dhidi ya Stoke City huku Manchester United ikiwa ya sita na Pointi zake 65.
Mara baada
ya Mechi kwisha, Mashabiki wa Spurs walivamia Uwanjani kuuga Uwanja wao kama Picha hapa chini nimekuwekea zikionesha zaidi.
|
LIGI KUU
ENGLAND 2016/2017.
Jumatatu May
15, 2017
2200 Chelsea
v Watford
Jumanne May
16, 2017.
2145 Arsenal
v Sunderland
2200
Manchester City v West Bromwich Albion
Jumatano May
17, 2017.
2145
Southampton v Manchester United
Alhamisi May
18, 2017.
2145
Leicester City v Tottenham Hotspur
Jumapili May
21, 2017.
Mechi za
Mwisho za Ligi, zote kuanza Saa 11 Jioni
Arsenal v
Everton
Burnley v
West Ham United
Chelsea v
Sunderland
Hull City v
Tottenham Hotspur
Leicester
City v Bournemouth
Liverpool v
Middlesbrough
Manchester
United v Crystal Palace
Southampton
v Stoke City
Swansea City
v West Bromwich Albion
Watford v
Manchester City
|
No comments:
Post a Comment