Jeshi la
Kujenga Taifa (JKT) limechagua vijana waliohitimu Elimu ya Sekondari Kidato cha
Sita mwaka 2017 kutoka Shule zote za Tanzania Bara ambao watahudhuria mafunzo
ya JKT kwa Mujibu wa Sheria.
JKT imepangia Makambi kwa wanafunzi hao ambako
watapatiwa mafunzo kwa muda wa miezi mitatu wakitakiwa kuripoti kuanzia May 25
– 30 2017.
Soma Majina
hayo kwa Bonyeza HAPA HAPA HAPA
|
Wednesday, May 24, 2017
Mafunzo JKT May 2017-Soma Hapa Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment