Ushindi wa jana
wa Yanga SC ulitokana na Krosi murua ya Fulbeki Juma Abdul ya Dakika ya 81
iliyounganishwa kwa Kichwa mithili ya Kombora cha Amissi Tambwe kilichotingisha
Nyavu na kuamsha furaha, nderemo na vifijo kwa Mashabiki wa Yanga ndani na nje
ya Tanzania.
Ikiwa
imebaki mechi moja kabla ya ligi kumalizika, Simba SC inahitaji kushinda mechi yao
dhidi ya Mwadui FC kwa idadi kubwa ya magoli halafu Mbao nayo iifunge Yanga SC kwa
idadi kubwa ya magoli ili Simba SC itwae taji la VPL kitu ambacho ni kigumu
kulingana na hali ilivyo kwa sasa.
|
Ratiba/Matokeo:
MECHI ZA
MWISHO
Jumamosi May
20,2017.
Azam FC v
Kagera Sugar
Maji Maji FC
v Mbeya City
Simba SC v Mwadui FC
Mbao FC v
Yanga SC
Stand United
v Ruvu Shooting
Mtibwa Sugar
v Toto Africans
Tanzania
Prisons v African Lyon
Ndanda FC v
JKT Ruvu
|
No comments:
Post a Comment