Kipigo
walichopata Simba kinawarudisha chini hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa
ligi kuu Tanzania bara wakibaki na pointi zao 55 na Yanga sasa inaongoza ligi
kwa tofauti ya pointi moja huku timu zote zikiwa zimeshacheza mechi 25.
Kagera Sugar
ndio walitangulia kufunga Dakika ya 27 kwa mzinga mkali wa Mbaraka Yusuf na Bao
hilo kudumu hadi Haftaimu.
|
Kipindi cha
Pili Dakika 47, Kagera Sugar walienda 2-0 mbele kwa Bao la Edward Christopher.
Simba SC walipata
Bao lao pekee Dakika ya 67 kupitia Muzamil Yassin.
Jumapili
Aprili 02,2017.
Kagera Sugar
2 – 1 Simba SC
African Lyon
1 – 0 Stand United
Tanzania
Prisons 0 – 0 Mtibwa Sugar
Mwadui FC 2 –
2 JKT Ruvu
Maji Maji FC
4 – 1 Toto Africans
MSIMAMO WA LIGI ULIVYO SASA.
|
No comments:
Post a Comment