Staa wa
Bongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz’,
akiwa juu ya ndinga yake mpya aina ya Hammer.
|
Akiwa na
watoto wake nje ya nyumba yake huko Afrika Kusini (Sauzi).
|
STAA wa
Bongo Fleva, Nasib Abdul maarufu Diamond Platnumz ameonyesha gari lake jipya
aina ya Hammer alilolinunua kwa ajili ya shughuli zake akiwa nchini Afrika
Kusini.
Diamond na
familia yake (mama watoto wake na watoto wawili) wanaishi nchini Afrika Kusini.
Kupitia
Instagram yake amepost picha za gari hilo na kuziwekea caption inayosema:
@zarithebosslady kidogo changu mimi nawe, kikubwa cha Barabuu… Mali zao
zisifanye upagawe ukaniweka Roho juu…. so proud to have you mama, tukutane
kwenye kuliwakilisha Taifa kwenye Mashuka leo
@zarithebosslady
|
No comments:
Post a Comment