Askari
polisi wa wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera PC Samweli Shayo (kushoto)na PC Slivanus (kulia) wakichunguza Risasi 193
zilizookotwa na wananchi wa kijiji cha Kasharazi wilayani humo jana April 19,
2017 baada ya kutelekezwa na watu
wasiojulikana kando ya daraja la mto Ruvubu barabara kuu ya Ngara hadi K9.
Habari/Picha
na -Shaaban Nasib Ndyamukama-Ngara.
|
Askari
polisi wa wilaya ya Ngara makao makuu ya polisi ya wuilaya mkoani Kagera
wakishuhudia Risasi 193 za silaha
mbalimbali zinazotumika kuuwa wanyama kwenye hifadhi baada ya kuokotwa kandokando
ya mto Ruvubu katika daraja kuu la Kasharazi kutoka mjini Ngara kuelekea Benaco
wilayani Ngara leo saa 10 alasiri.
Habari/Picha
na -Shaaban Nasib Ndyamukama-Ngara.
|
Askari
polisi wa wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera PC Samweli Shayo (kushoto)na PC Slivanus (kulia) wakichunguza Risasi 193
zilizookotwa na wananchi wa kijiji cha Kasharazi wilayani humo jana April 19,
2017 baada ya kutelekezwa na watu
wasiojulikana kando ya daraja la mto Ruvubu barabara kuu ya Ngara hadi K9.
Habari/Picha
na -Shaaban Nasib Ndyamukama-Ngara.
|
No comments:
Post a Comment