Beki wa kati
wa Arsenal, Shkodran Mustafi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia
timu yake bao la kusawazisha dakika ya 53 ikitoa sare ya 2-2 na Manchester City
katika mchezo wa Ligi Kuu.
|
Bao lingine
la Arsenal lilifungwa na Theo Walcott dakika ya 40, wakati ya Man City
yamefungwa na Leroy Sane dakika ya tano na Sergio Aguero dakika ya 42.
|
EPL itarindima
tena Jumanne na Jumatano kwa Timu zote 20 kuwa dimbani na Bigi Mechi, bila
shaka, ipo Jumatano Stamford Bridge wakati Vinara Chelsea wakiivaa Man City.
|
No comments:
Post a Comment