Basi likiwa
katika muonekano mbaya baada ya kupata ajali.
|
Muonekano wa
Lori baada ya kupata ajali.
Bw Kimaiyo
amesema walionusurika waliambia maafisa wa polisi dereva wa basi alikuwa
akijaribu kupita gari jingine basi lilipogongana na lori hilo.
Kwa mujibu
wa Mamlaka ya Taifa ya Uchukuzi Kenya, watu 3,000 hufariki kila mwaka kutokana
an ajali za barabarani.
|
No comments:
Post a Comment