Meli ya Liaoning ilipokuwa
inakabidhiwa rasmi kwa jeshi la wanamaji la China Septemba 2012.
Meli pekee
kubwa ya kubeba ndege inayomilikiwa na China ni meli ya Liaonong, ambayo ni
meli ya enzi za muungano wa Usovieti iliyofanyiwa ukarabati.
China
ilinunua meli hiyo kutoka kwa Ukraine.
|
Meli hiyo baada ya kung'oa nanga
Dalian.
|
Meli hiyo ya kivita ilizinduliwa
Dalian.
|
Vyombo vya habari vya serikali ya
China vimesambaza picha za manowari hiyo ikiwa imerembeshwa kwa mapambo.
|
No comments:
Post a Comment