Askari wa
Jeshi la Polisi Ngara na baadhi ya Wananchi wa kijiji cha Kasharazi wilaya ya
Ngara mkoani Kagera wakichunguza Risasi 193 zilizookotwa jana April 19, 2017 baada ya
kutelekezwa na watu wasiojulikana kando
ya daraja la mto Ruvubu barabara kuu ya Ngara hadi eneo la K9 katika kijiji
hicho.
|
Askari
polisi wa wilaya ya Ngara makao makuu ya polisi ya wuilaya mkoani Kagera
wakishuhudia Risasi 193 za silaha
mbalimbali zinazotumika kuuwa wanyama kwenye hifadhi baada ya kuokotwa
kandokando ya mto Ruvubu katika daraja kuu la Kasharazi kutoka mjini Ngara
kuelekea Benaco wilayani Ngara April 19, 2017 saa 10 alasiri.
|
Kandokando
ni Mto Ruvubu katika daraja kuu la Kasharazi kutoka mjini Ngara kuelekea Benaco
wilayani Ngara Mkoani Kagera.
|
No comments:
Post a Comment