Eden Hazard
akiteleza chini kushangilia baada ya kuifungia bao la tatu Chelsea dakika ya 75
katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Tottenham Hotspur leo Uwanja wa Wembley katika
Nusu Fainali ya Kombe la FA England.
Willian amefunga mabao mawili moja dakika
ya tano na lingine dakika ya 43 kwa penalti wakati bao lingine la Chelsea
limefungwa na Nemanja Matic dakika ya 80 huku ya Spurs yakifungwa na Harry Kane
dakika ya 18 na Dele Alli dakika ya 52.
|
Chelsea sasa itakutana na mshindi kati ya Arsenal au Manchester City zinazomenyana kesho April 23, 2017 Wembley |
No comments:
Post a Comment