Mchezo huo
wa robo fainali umefanyika katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, ambapo Yanga
SC sasa inaungana na mahasimu wao Simba SC, Azam FC na Mbao FC katika hatua
inayofuata ambayo ni nusu fainali.
Droo ya Nusu
Fainali inatarajiwa kuchezeshwa kesho April 23, 2017 Saa 11:00 jioni katika
studio za Azam TV, wadhamini wa michuano hiyo, zilizopo Tabata mjini Dar es
Salaam.
|
Saturday, April 22, 2017
Home
MICHEZO
Matokeo ya FA Cup - Yanga SC yaungana Nusu Fainali na Simba SC,Mbao FC na Azam FC.Prisons April 22, 2017
Matokeo ya FA Cup - Yanga SC yaungana Nusu Fainali na Simba SC,Mbao FC na Azam FC.Prisons April 22, 2017
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment