Lily Joe,
aliwahi kupigwa na mumewe na akaokolewa na polisi ambao walimtia mbaroni mumewe
ambaye aliua wazungu wawili kwa lengo la kuwala nyama.
Hata hivyo,
vyama vya kutetea haki za binadamu vinasema sheria hiyo haijajitosheleza kwa
sababu bado kuna sheria zinazokandamiza wanawake kama hiyo ya mwaka 1971
inayohusisha mambo au shughuli za uchawi (practice of sorcery).
Serikali
imeshaanza kuchukua hatua ya kuhakikisha unyama na ukatili wa watu kula
binadamu wenzao unapigwa marufuku kwa kuanzisha mahakama za kisheria hadi
vijijini na pia unahamasisha viongozi wa dini kutoa mahubiri vijijini wakiwa na
ulinzi mkali ili watu waachane na unyama huo wa kuua na kula wenzao.
|
Baadhi ya
wanawake na wanaume wajamii hiyo.
Habari
zinasema wanaowaua wamisionari ni wanaume wa makabila hayo na hiyo ni kutokana
na kuabudu mila potofu kwani hadi sasa wana maiti zilizokaushwa kwa moto katika
mabanda maalum au katika mapango yaliyo jirani na vijiji vyao.
|
No comments:
Post a Comment