Kocha
Msaidizi wa Simba SC, Jackson Mayanja,
alisema wanaamini kwamba Azam FC watakuwa kizuizi kizuri kwa Yanga SC kuchukua
pointi kwao ambapo kama wakifungwa mchezo huo, itakuwa faida kwao.
“Tunategemea
kwamba Yanga SC watakwama watakapokutana na Azam FC kwa kupata matokeo mabaya ambayo
kwetu itakuwa faida kwa sababu njia ya ubingwa itazidi kusafishika na hilo
litakuwa jambo zuri kwetu.
“Japo
hatufikirii sana matokeo ya wapinzani wetu kwa sababu tunacheza mechi zetu na
lengo ni kushinda na siyo jambo lingine na tunaamini kama tutafanya vizuri
kwenye mechi hizo, basi kila kitu kitakuwa kizuri kwetu,” alisema Mayanja.
|
Monday, March 06, 2017
VPL 2016/2017:Simba SC waomba ubingwa Azam FC.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment