Waliojeruhiwa
ni Kaimu Katibu mkuu wa Chama cha Soka wilaya ya Ngara-NDFA, Jophram na Nahodha
wa Benaco FC Mpoto Mpoto ambao wamelazwa hospitali ya Nyamiaga kwa matibabu
zaidi.
|
Mashuhuda wa
ajali hiyo wanaeleza kuwa chanzo cha
ajali hiyo huenda imesababishwa na Mwendo kasi na kusababisha gari kutoka
pembeni mwa barabara.
Mtandao huu unatoa
pole kwa familia, ndugu, jamaa na familia ya mpira Wilayani Ngara, Kagera.
|
No comments:
Post a Comment