Taswira Picha Dkt.Kigwangallah Aongoza Maadhimisho ya Siku ya Ustawi wa Jamii. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Wednesday, March 22, 2017

Taswira Picha Dkt.Kigwangallah Aongoza Maadhimisho ya Siku ya Ustawi wa Jamii.

Maandamano yalivyoonekana kwa washiriki wa maadhimisho hayo.

Maandamano yalianzia Viwanja vya Zahanati ya Mwenge na kuhitimishwa katika viwanja vya Taasisi ya Ustawi wa Jamii ambapo waziri huyo alitembelea baadhi ya mabanda ya maonyesho ya huduma za wataalamu wa ustawi wa jamii na kazi za wateja na wadau mbalimbali.

 

Kigwangallah akitembelea baadhi ya mabanda yaliyokuwepo katika maadhimisho hayo.


Brass band ya polisi ikitoa burudani kwenye sherehe hiyo.


Naibu Waziri katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangallah, akiongozana na baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Chuo Cha Ustawi wa Jamii.
…Akiwa na viongozi wengine wakifuatilia matukio katika hafla hiyo.

Na Denis Mtima/GPL

Naibu Waziri katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangallah, Jana March 21,2017, ameongoza wakazi wa jijini la Dar katika maadhimisho ya Siku ya Ustawi wa Jamii ambayo yamefanyika katika viwanja vya Taasisi ya Chuo cha Ustawi wa Jamii eneo la Mwenge-Bamaga.

Maandamano yalianzia Viwanja vya Zahanati ya Mwenge na kuhitimishwa katika viwanja vya Taasisi ya Ustawi wa Jamii ambapo Waziri huyo alitembelea baadhi ya mabanda ya maonyesho ya huduma za wataalamu wa ustawi wa jamii na kazi za wateja na wadau mbalimbali.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad