Kigwangallah
akitembelea baadhi ya mabanda yaliyokuwepo katika maadhimisho hayo.
|
Brass band
ya polisi ikitoa burudani kwenye sherehe hiyo.
|
Naibu Waziri
katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis
Kigwangallah, akiongozana na baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Chuo Cha Ustawi
wa Jamii.
|
…Akiwa na
viongozi wengine wakifuatilia matukio katika hafla hiyo.
Na Denis
Mtima/GPL
Naibu Waziri
katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Wazee na Watoto, Dkt.
Hamis Kigwangallah, Jana March 21,2017, ameongoza wakazi wa jijini la Dar katika maadhimisho ya
Siku ya Ustawi wa Jamii ambayo yamefanyika katika viwanja vya Taasisi ya Chuo
cha Ustawi wa Jamii eneo la Mwenge-Bamaga.
Maandamano
yalianzia Viwanja vya Zahanati ya Mwenge na kuhitimishwa katika viwanja vya Taasisi
ya Ustawi wa Jamii ambapo Waziri huyo alitembelea baadhi ya mabanda ya
maonyesho ya huduma za wataalamu wa ustawi wa jamii na kazi za wateja na wadau
mbalimbali.
|
No comments:
Post a Comment