Ajali ya
Basi lenye Namba za Usajili T 514 ANV mali ya kampuni ya Ally’s Star
linalofanya safari kati ya Mwanza na Usinge mkoani (Tabora) likipata ajali eneo
la Mabuki ,Mwanza .
|
Hakuna vifo vilivyoripotiwa
huku abiria wachache wakipata majeraha madogo madogo na uharibifu wa gari
kama linavyoonekana piachani.
|
No comments:
Post a Comment