Rais wa
Jamhuriya Muungano wa Tanzania, DKt. John Pombe Magufuli ameweka jiwe la msingi ujenzi wa gati
bandari ya Mtwara, amesema si lazima mafuta yote kushushiwa Dar es Salaam, meli ziende
Mtwara na kuyasambaza kwingine.
Hizi ni
sentensi 5 alizongumza leo,March 04,2017 akiwa Mkoani Mtwara.
1.Wakandarasi waliosaini mkataba
kupanua Bandari ya Mtwara wasirudi Dar es Slaam, waanze kazi kesho.
|
2. Faida
namba moja kwenye ujenzi wa Gati Na.2 nayotaka kuiona, ni wananchi wa eneo hili
wanapata ajira toka kwenye mradi huu.
|
3. Hakuna
sababu ya mafuta yote kushushiwa Dar es Salaam, meli za mafuta zije Mtwara na
kusambaza mafuta maeneo ya jirani.
4. Huyu
Mkandarasi mliyempka kazi ingekuwa mimi nisingempa. Alipewa kazi ya barabara
hakukamilisha kwa wakati.
|
5. Sijui
ninyi mmekubalianaje au kama amejirekebisha. Ila kwavile nitakuwa nafuatilia
mimi mwenyewe, ikiharibika naju.
|
No comments:
Post a Comment