Kuadhimisha
Siku ya Wanaweke Duinian,Wanawake mjini Ngara walishiriki katika hospital ya Nyamiaga
tumetembelea wazazi na watoto ,kugawa Msaada wa Vitu mbalimbali sambamba na Kufanya
usafi wwa mazingira.
Kwa upande
wake Afisa Muuguzi wa Hospitali hiyo Dr Hillary Nkonyagi amesema pamoja na wahudumu
kuendelea kuhudumia kwa kujitoa bado kuna uhitaji mkubwa wa wauguzi ambao kama
wangepatikana wangesaidia katika utoaji wa huduma bora za mama na mtoto.
Kwa upande
wake Afisa Maendeleo ya Jamii wa wilaya ya Ngara Bi Mwajuma Ngwamuo amesema kuwa ni
wakati mwafaka kwa wanawake kupaza sauti zao kutokana na hali mbaya iliyopo
katika wodi ya wazazi inayosababisha wazazi kulala watatu kitanda kimoja.
|
Wednesday, March 08, 2017
Home
HABARI
MATUKIO
Siku ya Wanaweke Duinian,Wanawake mjini Ngara walishiriki Usafi na Kutoa Msaada katika hospital ya Nyamiaga.
Siku ya Wanaweke Duinian,Wanawake mjini Ngara walishiriki Usafi na Kutoa Msaada katika hospital ya Nyamiaga.
Tags
# HABARI
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment