Ratiba ya
robo fainali ya UEFA Europa League 2016/2017.
DROO ya
kupanga Mechi za Robo Fainali za UEFA Champions League imefanyika Mchana wa leo
March 17,2017 huko Nyon, Uswisi kwenye Makao Makuu ya UEFA na Mabingwa Watetezi
Real Madrid kupangwa na Bayern Munich.
Mabingwa wa
England Leicester City wao wamepangwa kucheza na Atletico Madrid wakati
Barcelona wakicheza na Juventus na Borussia Dortmund kuivaa AS Monaco.
ROBO FAINALI
– DROO KAMILI.
-Atletico
Madrid v Leicester City
-Borussia
Dortmund v AS Monaco
-Bayern
Munich v Real Madrid
-Juventus v
Barcelona
Mechi za
Robo Fainali zitachezwa Aprili 11 na 12 na Marudiano ni Aprili 18 na 19.
Nayo DROO ya Mechi za Robo Fainali ya UEFA EUROPA
LIGI imefanyika Leo huko Nyon, Uswisi kwenye Makao Makuu ya UEFA na Manchester
United kupangwa kucheza na Anderlecht ya Belgium.
Timu
anayochezea Staa mkubwa wa Tanzania, Mbwana Samatta, KRC Genk ya Belgium, wao
watawavaa Celta Vigo ya Spain.
Mechi
nyingine ni kati ya Ajax na Schalke wakati Lyon ya France wakicheza na Besiktas
ya Uturuki.
Robo Fainali
– Droo kamili.
-Anderlecht
v Manchester United
-Celta Vigo
v KRC Genk
-Ajax v
Schalke
-Lyon v
Besiktas
Mechi za
Robo Fainali zitachezwa Aprili 13 na Marudio ni Aprili 20.
|
Friday, March 17, 2017
Ratiba ya robo Fainali ya UEFA Champios League na UEFA Europa League 2016/2017
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment