Picha ya Ajali ya Leo March 5, 2017 eneo la Kitonga na Kujeruhi Watu 6.. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Sunday, March 05, 2017

Picha ya Ajali ya Leo March 5, 2017 eneo la Kitonga na Kujeruhi Watu 6..

Taarifa za awali toka kwa Kamanda wa kikosi cha usalama mkoa wa Iringa - RTO IRINGA ajali hiyo imesababisha Majeruhi 6 ambao wamelazwa Iringa Referral Hospital, kati yao Wanawake 2 na Mwanaume 1 ambaye anapata matibabu Itunda ilula.



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad