Msimamo wa
Makundi ya Mechi za Bara la Ulaya kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia za
Mwaka 2018 huko Russia zimeendelea Jana March 26,2017 kwa Belgium kunusurika
kipigo huku Cristiano Ronaldo akipiga mabao 2 wakati Ureno ikishinda na Uholanzi
kuchapwa 2-0.
Jumamosi
Machi 25,2017.
Cyprus 0 – 0
Estonia [Kundi H]
Bosnia And
Herzegovina 5 – 0 Gibraltar [Kundi
H]
Sweden 4 – 0
Belarus [Kundi A]
Andorra 0 –
0 Faroe Islands [Kundi B]
Switzerland
1 - 0 Latvia [Kundi B]
Luxembourg 1
– 3 France [Kundi A]
Bulgaria 2 –
0 Netherlands [Kundi A]
Belgium 1 –
1 Greece [Kundi H]
Portugal 3 –
0 Hungary [Kundi B]
++++++++
JE WAJUA?
-Ulaya itakuwa
na Nafasi 13 kwenye Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka 2018 huko Russia
-Washindi wa
Makundi 9 watatinga moja kwa moja Fainali za Kombe la Dunia
-Washindi wa
Pili 8 Bora toka Makundi hayo 9 watacheza Mechi za Mchujo kupata Washindi Wanne
kwenda Fainali za Kombe la Dunia
++++++++
Ratiba.
**Saa za
Bongo
Jumapili
Machi 26,2017.
19:00 San
Marino v Czech Republic [Kundi C]
19:00
Armenia v Kazakstan [Kundi E]
19:00
England v Lithuania [Kundi F]
19:00
Azerbaijan v Germany [Kundi C]
21:45 Malta
v Slovakia [Kundi F]
21:45
Romania v Denmark [Kundi E]
21:45
Scotland v Slovenia [Kundi F]
21:45
Northern Ireland v Norway [Kundi C]
21:45
Montenegro v Poland [Kundi E]
|
Sunday, March 26, 2017
Home
MICHEZO
Msimamo wa Makundi na Mechi za Ulaya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka 2018-Russia.
Msimamo wa Makundi na Mechi za Ulaya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka 2018-Russia.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment