Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini kitabu cha
wageni mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ilulu Mkoani Lindi.
Wengine
katika picha ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi(Wakwanza kushoto), Waziri
wa Maji Mhandisi Gerson Lwenge, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi Mzee Ally Mtopa
pamoja na Mbunge mteule Mama Salma Kikwete.
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi
katika Uwanja wa Ilulu mkoani Lindi kuhusu masula mbalimbali ya mkoa huo pamoja
na Taifa kwa ujumla.
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipunga mkono kuwaaga wananchi wa Lindi waliofika katika uwanja wa Ilulu kumsikiliza mara baada ya kumaliza kuwahutubia uwanjani hapo. PICHA NA IKULU. |
No comments:
Post a Comment