Droo ya
Mechi za Robo Fainali itafanyika Kesho Ijumaa March 17,2017 na Mechi zake
kuanza kuchezwa Aprili 11 na 12,2017.
Katika timu
zilizofuzu, Leicester
City pekee ndio timu iliyofanikiwa kusonga mbele katika michuano
hiyo ikitoka katika ligi maarufu zaidi duniani ya England.
Hii ni tofauti kwa ligi ya Hispania ' La liga ' waliotoa timu tatu ; FC Barcelona, Atletico Madrid na Real Madrid.
|
Thursday, March 16, 2017
Home
MICHEZO
Leicester City -Timu Pekee toka Ligi ya EPL kufuzu Robo fainali UEFA Champions League 2016/2017.
Leicester City -Timu Pekee toka Ligi ya EPL kufuzu Robo fainali UEFA Champions League 2016/2017.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment