Mapema, Mabingwa
Watetezi wa La Liga, FC Barcelona walitandikwa bao 2-1 na Deportivo La Coruna huko Estadio Municipal de Riazor.
Deportivo La Coruna walitangulia kufunga kwa Bao la dakika
ya 40 la Joselu
huku Luis Suarez akaisawazishia Barcelona
dakika ya 46 lakini Bergantiños GarcÃa akaipa
ushindi Deportivo La Coruna kwa Bao
la dakika ya 74.
|
Kwa Matokeo
hayo Real Madrid wanaongoza La Liga wakiwa na Pointi 62 kwa mechi
26 wakifuata FC Barcelona wenye
Pointi 60 kwa mechi 27 huku Deportivo La
Coruna wao wapo nafasi ya 15 wakiwa na Pointi 27 kwa mechi 27.
|
No comments:
Post a Comment