“Alipoletwa hapa alikuwa katika hali mbaya, tumejaribu
kumhudumia kwa kadiri tunavyoweza na hali yake inaendelea vizuri, hii siyo mara
ya kwanza kukutana na kesi kama hizi, mwaka jana kuna mwingine aliletwa hapa
naye akitorokwa na mama yake, hatukuwa tukilijua jina lake, tukaamua kumuita
Eliah.
“Sasa na huyu naye ameletwa na jina lake hatulijui, kwa hiyo
sisi hapa tumeamua kumwita jina la Elisha, kwa kuwa ni wa kiume, tutaendelea
kuwa naye hadi hapo baadaye uamuzi mwingine utakapochukuliwa na serikali,” alisema
Clavery, aliyedai kukaimu nafasi ya ofisa ustawi katika hospitali hiyo.
Jitihada za kumtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara,
Ramadhan Ng’azi hazikuzaa matunda kwani simu yake ya kiganjani haikupokelewa
kila ilipopigwa.
|
Wednesday, March 22, 2017
Kichanga chenye Umri usiozidi wiki moja Chatelekezwa Gesti Kikilia.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment