Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru Rais
wa Benki ya Dunia Dkt. Jim Yong Kim mara baada ya kuzindua mitambo na magari
yatakayotumika katika ujenzi wa makutano ya barabara za juu za Ubungo (Ubungo
interchange) jijini Dar es Salaam.
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni
wake Rais wa Benki ya Dunia Dkt. Jim Yong Kim wakimsikiliza Kaimu Mtendaji Mkuu
wa Wakala wa Barabara nchini TANROADS Mhandisi Crispianus Ako aliyekuwa
akielezea nama ya ujenzi huo makutano ya barabara za juu za Ubungo(Ubungo
interchange) zitakavyokuwa.
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Benki
ya Dunia Dkt. Jim Yong Kim wakiwapungia wananchi mkono wakati wakielekea kuweka
jiwe la msingi ujenzi wa makutano ya
barabara za juu Ubungo interchange, Ubungo jijini Dar es Salaam.
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
wananchi hawapo pichani kabla ya kuweka jiwe la msingi katika mradi wa
ujenzi wa ya barabara za juu Ubungo interchange, Ubungo
jijini Dar es Salaam.
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo
wakati akiwa ndani ya basi la Mwendokasi pamoja na Rais wa Benki ya Dunia Dkt.
Jim Yong Kim (anayetazama kadi yake ya DART) wakati wakitokea kituo kikuu cha
BRT-Kivukoni kuelekea Ubungo kwa ajili ya uwekaji wa jiwe la msingi mradi wa
Makutano ya barabara za juu Ubungo interchange, Ubungo jijini Dar es Salaam.
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais wa Benki ya Dunia Dkt. Jim Yong Kim
mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.
|
Baadhi ya
Wananchi wakifatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kabla ya kuweka jiwe la
msingi Mradi wa ujenzi wa Makutano ya barabara za juu Ubungo interchange,
Ubungo jijini Dar es Salaam-PICHA NA IKULU
|
No comments:
Post a Comment