Kuwepo kwa
timu 48 ilikua ni moja ya ahadi ya Gianni Infantino katika kampeni zake.
Mchakato huo
utakuwaje?
Kila
mwanachama wa FIFA atakuwa na uwezo wa kuongeza walau timu moja katika michuano
ya mwaka 2026.
Mwenyeji wa
fainali hizi ataingia moja kwa moja kama ilivyokua awali.
Mapendekezo
hayo yapo hivi
Afrika - 9
kutoka timu za awali 5
Asia - 8
kutoka timu 4 za awali
Ulaya - 16
kutoka timu 13 za awali
Marekani ya
Kaskazini, Kati na Caribbean - 6 kutoka timu 4 za awali
Bara la
Oceania - 1 kutoka timu 1 ya awali
Amerika ya
Kaskazini - 6 kutoka timu 4 za awali
|
Ujerumani ndio Bingwa mtetezi wa kombe la
dunia na Hatua ya nyongeza ya timu hizo inatajwa kama sababu mojawapo ya
kuonekana kwa nchi ambazo zilikuwa hazipati nafasi
Mwezi Januari Chama hicho chenye mamlaka makubwa ya soka Duniani, kilipanga kuongeza
timu zitakazoshiriki michuano ya kombe la dunia kutoka 32 mpaka 48 na hii
itaanza mwaka 2026.
Source: BBC.
|
No comments:
Post a Comment