Wachezaji wa
Chelsea wakifurahia ushindi wao wa bao
2-1 dhidi ya West Ham Katika mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa Jana
Jumatatu ya March 06,2017 uliyochezwa katika uwanja wa London Stadium.
|
Magoli ya Chelsea
yamefungwa na Eden
Hazard dakika ya 25 na Diego Costa dakika ya 50 na lile la West Ham likifungwa
na Lanzini
dakika ya 90+2 .
|
No comments:
Post a Comment