Siku ya
wapendanao ni Sikukuu ambayo
huadhimishwa kila ifikapo tarehe 14
Februari ya kila mwaka (Valentine Day).
Kiwanja
chako kipya na cha kisasa hapa Mjini Ngara/Kagera cha Moorland
Premier Hotels Limited kinakuletea Burudani nzuri kwa Wapendanao, Ya aina
yake na ya kusisimua usiku wa wa Wapendanao-(Valentine Day)-kwa
kiingilio cha Tsh.5,000/=.
Usiku huo wa
(Valentine Day) utapambwa na burudani ya hatari kutoka Team Zero
to Hero Wakisindiza show ya LIVE wakiwa na KANGA MOKO.
Pia Wewe Mteja
wetu ukiwa na Umpendaye katika kiwanja chetu cha MPH NIGHT CLUB tarehe 14.2.2017 (Valentine Day)-Njoo na
umpendaye mtembee juu ya Carpet Jekundu
mjishindie zawadi nono ya valentine day na kushangweka hadi majogooo.
Usipomtarifu
umpendaye atakulaumu.....karibuni san.
|
Thursday, February 09, 2017
Home
MATUKIO
MICHEZO
(Valentine Day)-Njoo na Umpendaye Mtembee juu ya Carpet Jekundu- MPH NIGHT CLUB –Ngara/Kagera-Mshindi Kuibuka na Zawadi Nono.
(Valentine Day)-Njoo na Umpendaye Mtembee juu ya Carpet Jekundu- MPH NIGHT CLUB –Ngara/Kagera-Mshindi Kuibuka na Zawadi Nono.
Tags
# MATUKIO
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment