Manchester United wameenda hatua ya 16 bora katika Ligi
ndogo ya klabu Ulaya, Europa League, kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya Saint-Etienne.
Alhamisi
iliyopita huko Old Trafford Man United waliichabanga Saint-Etienne 3-0 kwa bao
za Hetitriki ya Zlatan Ibrahimovic.
|
Bao la
ushindi la Man United lilifunbwa Dakika ya 16 kupitia Mkhitaryan alieunganisha
Pasi ya Juan Mata.
Hata hivyo,
mfungaji bao wao Henrikh Mkhitaryan huenda akakosa mechi ya Kombe la EFL
Jumapili baada ya kuumia na kulazimika kuondoka uwanjani wakati wa mechi hiyo.
Muda mfupi
baadaye hata hivyo, mchezaji huyo kutoka Armenia alionekana kuumia misuli ya
paja na kulazimika kuondoka wuwanjani.
Beki wao
Eric Bailly pia alifukuzwa uwanjani dakika ya 63 baada ya kuonesha kadi ya pili
ya njano.
|
Jumatano Februari 22,2017.
Matokeo.
**Kwenye Mabano Jumla ya Magoli kwa
Mechi 2
FC Schalke
04 1 PAOK Salonika 1 (4-1)
Fenerbahçe 1
FK Krasnodar 1 (1-2)
Saint-Étienne
0 Manchester United 1 (0-4)
Mechi za Pili
**Saa za Bongo
**Kwenye Mabano Matokeo Mechi ya
Kwanza
Alhamisi Februari 23,2017.
1900
Osmanlispor v Olympiakos (0-0)
2100 Ajax v
Legia Warsaw (0-0)
2100 Apoel
Nicosia v Athletic Bilbao (2-3)
2100
Besiktas v Hapoel Be'er Sheva (3-1)
2100 Roma v
Villarreal (4-0)
2100 Zenit
St Petersburg v RSC Anderlecht (0-2)
2305 FC
Copenhagen v Ludogorets Razgrad (2-1)
2305
Fiorentina v Borussia Mönchengladbach (1-0)
2305 KRC
Genk v Astra Giurgiu (2-2)
2305 Lyon v
AZ Alkmaar (4-1)
2305 Shaktar
Donetsk v Celta Vigo (1-0)
2305 Sparta
Prague v FC Rostov (0-4)
2305
Tottenham Hotspur v KAA Gent (0-1)
|
No comments:
Post a Comment