Hitmaker
huyo wa ‘Kidebe’ usiku wa kuamkia February 27,2017, ameibiwa baadhi ya vitu
kwenye gari lake aina ya Porte ikiwemo taa, radio na power window.
Baada ya
kukutana na janga hilo Dogo Janja amemuandikia ujumbe Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam, Paul Makonda kupitia mtandao wa Instagram unaosemeka:
Muheshimiwa
makonda tunashkuru umelisimamia vizur swala la madawa ya kulevya na tumeona
matunda yake..lakin bado kuna hili la hawa wezi wa vipuli vya magari km taa
radio powerwindow naona km alijaongelewa ivi..awa jamaa wapo wengi sana mjini
na wanajulikana..wanakuibia alafu wanakupigia cm wapi pakuvipata vitu
vyako..mueshimiwa tuanzishe na kampeni hii tupunguze kutiana hasara..kigali
changu chenyewe ndio hiki nataftia riziki jana ucku wamekuja wameiba kila kitu
radio taa za mbele na nyuma..ntatokaje kujitaftia rizik? Cc: @paulmakonda.
|
Tuesday, February 28, 2017
Taswira Picha,Dogo Janja Alizwa.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment