WhatsApp
hutumiwa na watu bilioni moja duniani.
Orodha
kamili ya mifumo ya simu ambayo wateja hawataweza tena kutumia WhatsApp ni hii
hapa:
Android 2.1
na Android 2.2.
Windows
Phone 7
iPhone
3GS/iOS 6
Simu ambazo
wateja wake hawataweza kutumia Whatsapp ifikapo Juni 30, 2017 ni:
BlackBerry
OS and BlackBerry 10
Nokia S40
Nokia
Symbian S60
Wanaotumia
simu za aina hiyo wameshauriwa kununua simu za kisasa zaidi.
Kampuni hiyo
imesema wakati wa kuanzishwa kwa WhatsApp mwaka 2009, asilimia 70 ya simu
wakati huo zilikuwa za BlackBerry na Nokia.
|
Simu ya
Blackberry.
Lakini sasa
asilimia 99.5 ya simu zinatumia mifumo ya Google, Apple na Microsoft.
|
No comments:
Post a Comment