Hapo Jana February 22,2017 usiku,ilichezwa michezo miwili ya hatua ya 16
bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya 2016/2017, kwa FC Porto walikuwa wenyeji wa Juventus
katika mchezo uliomalizika kwa Juventus kupata
ushindi wa goli 2-0 magoli yakifungwa na Marko
Pjaca dakika ya 72 na Daniel Alves dakika ya 74.
Mchezo mwingine
Sevilla walikuwa nyumbani kuwa
kuikaribisha mabingwa wa Ligi Kuu England Leicester
City katika mchezo huo wa kwanza wa hatua ya 16 bora, Sevilla walifanikiwa kuifunga Leicester goli 2-1, magoli yakifungwa na Pablo Sarabia dakika ya 25 na Joaquin
Correa dakika ya 62 wakati goli la Leicester
City likifungwa na Jamie Vardy
aliyefunga goli hilo baada ya kucheza jumla ya dakika 748 bila kufunga goli.
|
Thursday, February 23, 2017
Matokeo ya Hatua 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment