Goli za Man
United hii Leo February 11,2017 zilifungwa na Juan Mata, Dakika ya 32, na Anthony Martial
Dakika ya 60 .
|
Ushindi huu
umewaweka Man United wakiwa na
Pointi 48 na Pointi hizi 3 za Leo zimewafanya wafikishe Pointi 2,000 kwenye
Ligi huko England na kuweka Rekodi mpya.
Pia sasa Man
United wako kwenye mbio za Mechi 16 bila kufungwa kwenye EPL.
|
No comments:
Post a Comment