Picha za
maafisa waliovalia viatu hivyo zimesambazwa sana mtandaoni.
Polisi hao
waliandaa matembezi hayo kwa ushirikiano na mashirika ya kutetea haki za
wanawake.
|
Shirika la
Walk A Mile in Her Shoes linaloandaa matembezi hayo lilianzishwa mwaka 2001 na
Frank Baird. Lilianza kama kundi la wanawake waliokuwa wakijitokeza na kutembea
kwenye bustani wakiwa wamevalia viatu vya wanawake.
Lakini sasa
limekuwa shirika kubwa na kila mwaka maelfu ya watu hushiriki kuchangisha pesa
za kusaidia vituo vinavyowasaidia waathiriwa wa ubakaji, waathiriwa wa dhuluma
nyumbani pamoja na miradi inayokabiliana au kupinga dhuluma na unyanyasaji wa
wanawake.
|
No comments:
Post a Comment