Pichani ni
Mashabiki wa Msanii LEWIS GABRIEL Kutoka Kata ya Chanika wilayani Karagwe
wakifurahia ushindi wa Msanii wao huyo aliyeibuka kidume katika Shindano la Kituo
cha Radio Karagwe kilichopo wilayani Karagwe mkoani Kagera kupitia Shindano la
RADIO KARAGWE STAR SEARCH 2016 ambapo aliwashinda washiriki wenzake kwa kupata
asilimia 96 YA Kura za Majaji.
Fainali ya
mashindano hayo imefanyika jana Ijumaa December 16,2016 na Vigezo vilivytazamwa
na Majaji kwa Washiriki wote 31 kutoka wilaya nne za mkoa wa Kagera za Karagwe,
Misenyi, kyerwa na Bukoba vijijini ni
pamoja na Muonekano, Ubunifu, maudhui ya wimbo/ujumbe, melod/ghani, hamasa,
Uchangamfu na kutawala jukwaa, Uwezo wa kutoa sauti halisi.
|
No comments:
Post a Comment