Mfalme wa
Morocco Mohammed VI akipokea shada la
maua alipowasili Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere 23/10/2016 kwa ziara rasmi ya siku
tatu Jijini Dar es Salaam.
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimlaki Mfalme
wa Morocco Mohammed VI mara baada ya
kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K.
Nyerere 23/10/2016 kwa ziara rasmi ya ya siku tatu Jijini Dar es Salaam.
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Mfalme wa
Morocco Mohammed VI wakisimama kwa nyimbo za Taifa na mizinga 21 mara baada
ya Mfalme huyo kuwasili katika Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere 23/10/2016 kwa ziara ya siku
tatu Jijini Dar es Salaam.
|
Mfalme wa
Morocco Mohammed VI akikagua gwaride mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Mwalimu Julius K. Nyerere 23/10/2016 kwa ziara ya siku tatu Jijini Dar es
Salaam.
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimtambulisha
Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Mfalme wa Morocco Mohammed VI mara
baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege
wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere 23/10/2016 kwa ziara ya siku tatu ya
kikazi Jijini Dar es Salaam.
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimtambulisha
Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa kwa
Mfalme wa Morocco Mohammed VI katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu
Julius K. Nyerere 23/10/2016 kwa ziara rasmi ya siku tatu Jijini Dar es Salaam.
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimtambulishwa
sehemu ya ujumbe wa Mfalme wa Morocco
Mohammed VI mara katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius K.
Nyerere 23/10/2016 kwa ziara rasmi ya siku tatu
Jijini Dar es Salaam.
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli katika maongezi na Mfalme wa Morocco Mhe.
Mohammed VI katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Mwalimu Julius K. Nyerere 23/10/2016 kwa ajili ya ziara rasmi ya
siku tatu Jijini Dar es Salaam… Kwa
picha zaidi BOFYA HAPA
|
No comments:
Post a Comment