Lakini
Kipindi cha pili, Valencia wakafunga Bao 2 katika Dakika za 52 na 56 kupitia
Munir el Haddadi, Mchezaji wa Mkopo kutoka Barceloa, na Rodrigo.
Luis Suarez
akaisawazishia Barcelona Dakika ya 62 na Messi kufunga Penati ya Dakika ya 94 na
kuipa Barcelona ushindi.
Ushindi huu
umewaweka Barcelona kwenye uongozi wa La Liga wakiwa Pointi 1 mbele ya Vinara
Atletico Madrid na Real Madrid ambao wamefungana kwa Pointi na wote wanacheza
Kesho,Jumapili.
|
Saturday, October 22, 2016
LA LIGA 2016/2017 - Taswira Picha Lionel Messi na Penati Barcelona ikishinda 3-2.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment