Msanii Wizkid
alikuwa Man of the Night
Ulikuwa ni
mwaka wa Wizkid aliyeibuka na tuzo nyingi zaidi, ikiwemo ya Msanii Bora wa
Mwaka.
Wasanii wa Tanzania, Diamond Platnumz na Ali Kiba walikuwa miongoni ma wasanii waliotumbuiza.
“Shukran
sana sana kwa Kura na support Kubwa mlionipa na mnayoendelea kunipa,” ameandika
Diamond kwenye Instagram.
“Pia S/O kwa
my fellow Tanzanian Artist wote waliobahatika kuchaguliwa… Kuingia tunwengi
kwenye MtvAwards ni Ushindi tosha kwa Tanzania…ila wanna congrats my brothers
@sautisol for the Best Group award… my hommie @jahprayzah and @wizkidayo ya’ll
deserve the Trophies,” ameongeza.
Ali Kiba
amepost picha ya Sauti Sol na kuandika: Congratulations to my brothers
@sautisol for The MTV Best Group Winner. You have had a great year and you
deserve it.”
Naye Vanessa
Mdee amepost picha ya Yemi Alade aliyekuwa akishindana naye kwenye kipengele
cha Msanii Bora wa Kike na kuandika: Congratulations to my lady love @yemialade
na bado tunaenda #Juu and ALL the winners tonight. Thankyou @mtvbaseafrica for
the recognition and your continued efforts to elevate Afrikan Music.Now lets
get back to work kids.”
Kwa upande
wao, Navy Kenzo wamewapongeza Sauti Sol kwa kuandika: With a Great pleasure we
Thank God and all Fans, family, friends and all of our teams,Thank you Everyone
for voting and it was a great exposure motivation and challenge towards major
Goal…! We also Give thanks to @mtvbaseafrica @mtvbaseafrica For the Nomination
and recognition we are very happy with a Great Gratitude. Until next Year. EAST
AFRICA #KENYA AND AFRICA AT LARGE LET’S STAND TOGETHER AND SAY CONGRATULATIONS
@sautisol @sautisol
@sautisol
@sautisol #BESTGROUP #AFRICA.”
Hapa chini ni
orodha kamili ya washindi.
|
No comments:
Post a Comment