Mbijima ameseme kuwa
hivi sasa serikali imeelekeza nguvu zake kwa Wanawake na Vijana katika
kuwawezesha kwa kupitia katika halmashauri zao lakini wapo baadhi ya watendaji
wasiokuwa waadilifu mara zinapotokea fursa kwa walengwa wao uzipora na kuwapa
watu wao au kuziingiza katika makampuni yao binafsi
Mwenge huo katika mbio zake wilayani Kibondo ulitembelea miradi tisa ya maendeleo yenye
thamani ya million mia 960,961,775 na kutoa elimu kwa jamii juu ya kujiepusha
na matumiszi ya madawa ya kulevya , Maambukizi ya ukimwi, na kutoa hamasa kwa Vijana
, Wanawake kujunga na kufanya kazi iliweze
kuongeza kipato cha familia
ambapo kiongozi huyo amewataka vijana kushiriki katika kazi na kuheshimu utu
wao waweze kuthaminiwa ndani ya jamii
ndipo na shirikishwaji utakapo kuwepo
‘’Vijana kutokana na
mienendo yetu mibaya tunasomeka katika jamii kuwa ni wathuni ambao hatusitahili
kushirikishwa katika mambo mbalimbali ya kijamii na kifamilia lakini
tukijiheshimu kwa kufuata maadili hata ushirikishwaji utakuwa na maana.'' alisema Mbijima kiongozi mbio za Mwenge
2016’’
|
No comments:
Post a Comment