Na kuhusu
Mahakama ya Kadhi, Mh.Kikwete amesema Serikali haitaanzisha ila waislamu
wenyewe wana uhuru wa kuwa nayo ama la.
Kwa upande
wake Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh.Said Meck Sadick amesema
uwepo wa hali ya utulivu hasa katika mkoa wa Dar es Saam imewezekana
kutokana na viongozi wa Dini kuwa naumoja ambao
kila mara wamekuwa mstari wa mbele kusaidia amani idumu
nchini.
Kwa upande
wake Mwenyekiti wa Kamati hiyo Sheikh mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam
Alihadi Mussa Salum amesema mkutano huo unalengo la kujadili
mambo makubwa yanayolihusu taifa ambapo makamu Mwenyekiti
wa kamati hiyo askofu Valentino Mokiwa
amesema bado ipo changamoto ya matumizi ya
Demokrasia iliyopo nchini.
Pata
Picha, Habari za Kisiasa, Kijamii, Kiuchumi na Michezo kila stori inayonifikia wakati wowote ukijiunga na mimi kwa kubonyeza…..FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia
tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Sunday, March 29, 2015
Home
HABARI
KATIBA TANZANIA:-Rais kikwete asikitishwa na Viongozi wa dini kutoa matamko kwa waumini wao ya kuwataka kupigia kura ya ‘’hapana’’.
KATIBA TANZANIA:-Rais kikwete asikitishwa na Viongozi wa dini kutoa matamko kwa waumini wao ya kuwataka kupigia kura ya ‘’hapana’’.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment