Hizi Mechi
za Leo ni za viporo kwa Yanga SC na Azam FC na wote watatinga tena dimbani Jumapili
kwa Yanga SC kubaki huko huko Sokoine Mbeya kucheza na Mbeya City na Azam FC kuwa
kwao Azam Complex, Chamazi, kwenye Viunga vya Jiji la Dar es Salaam kucheza na
Tanzania Prisons.
Jumapili wiki endi hii ipo Mechi moja zaidi huko Kambarage, Mjini Shinyanga, wakati Stand
United itakapoikaribisha Simba huku , Jumamosi zipo Mechi 3 za Ligi huko Miji ya Shinyanga, Mtwara
na Tanga.
UNGANA NASI KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
RATIBA VPL 2014/2015.
Jumamosi
Februari 21,2015.
Kagera Sugar
v Polisi Moro
Ndanda v
Coastal Union
Mgambo
Shooting v Mtibwa Sugar
Jumapili
Februari 22,2015.
Mbeya City v
Yanga
Stand United
v Simba
Azam FC v
Tanzania Prisons
MSIMAMO VPL 2014/2015.
|
Thursday, February 19, 2015
Home
MICHEZO
LIGI KUU TANZANIA 2014/2015:-Haya ndio Matokeo ya Mechi Viporo vya leo Februari 19,2015
LIGI KUU TANZANIA 2014/2015:-Haya ndio Matokeo ya Mechi Viporo vya leo Februari 19,2015
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment