Baadhi ya Wanafunzi
waliohudhuria ufunguzi wa maktaba hizo mbili
ambapo Jamii imetakiwa kujitokeza kutumia huduma za Maktaba hizo kwa kujisomea Vitabu mbalimbali ili
kujiongezea Maarifa.
|
Afisa Michezo na Utamaduni wilaya ya Ngara Bw.Said Salumu akiwa ni mshereheshaji mkuu katika zoezi la Ufunguzi wa Maktaba ya wilaya ya Ngara na Maktaba ya Tarafa ya Rulenge hapo jana(Julai 29,2013).
|
Baadhi ya Walimu
wa Kata ya Rulenge wakati wa zoezi la Ufunguzi wa Maktaba ya Wilaya ya Ngara na Maktaba ya Tarafa ya Rulenge hapo Jana(Julai 29,2013) katika Kituo cha Walimu (TRC) Mjini Rulenge.
|
Mke wa Mbunge
wa Jimbo la Ngara kushoto(Mrs. Ntukamazina) akiwa na mke wa mkurugenzi wa
bodi ya maktaba Tanzania(Mrs. Mcharazo).
|
No comments:
Post a Comment