Zaidi
ya abiria 1,500 waliokuwa wakisafiri na treni ya abiria kutoka mikoa ya
magharibi na kanda ya ziwa wamekwama kwa muda usiofahamika katika kituo cha
treni cha Dodoma kufuatia tuta la reli katika eneo la Godegoge wilayani Mpwapwa
kusombwa na maji ya mvua na kusababisha adha kubwa kwa abiria hao ambao wengi
wao wana watoto wadogo na wagonjwa.
Tuesday, March 12, 2013
Home
MATUKIO
VIDEO : Abiria wa treni wakwama kutokana na mvua kusomba tuta la reli katika eneo la Godegoge - Mkoani Dodoma .
VIDEO : Abiria wa treni wakwama kutokana na mvua kusomba tuta la reli katika eneo la Godegoge - Mkoani Dodoma .
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment