Ziwa Tanganyika pamoja na miji muhimu kando yake |
Waziri wa ulinzi na jeshi la Kujenga taifa Bw Shamsi Vuai Nahodha amesema watu wenye silaha wanaosadikiwa kutoka Burundi na Jamhuri ya kidemokrasi ya kongo wamekuwa wakifanya uhalifu katika ziwa hilo.
Amesema kuwa majambazi hayo yamekuwa yakiwashambulia wavuvi na kuwanyanganya vifaa vya uvuvi na wakati mwingine kuwauwa.
![]() |
Ziwa Tanganyika jinsi inavyoonekana kutoka angani
Mahali Afrika ya Mashariki Nchi zinazopakana Burundi, Kongo,
|
Wazir Nahodha amesema mnamo mwezi May 2012 ,majambazi yenye silaha za kivita kutoka nchi jirani waliwapola wavuvi katika ziwa Tanganyika,kufanya mauaji na kuwajeruhi askari ikiwa ni mwendelezo wa matukio ya ujambazi yanayofanywa katika ziwa Tanganyika.
![]() |
Waziri wa ulinzi na jeshi la Kujenga taifa, Shamsi Vuai Nahodha. |







No comments:
Post a Comment